PSPF YASAJILI WANACHAMA ZAIDI, BALOZI WA MFUKO HUO MRISHO MPOTO NAYE AINGIA KAZINI KUONGEZA NGUVU

* Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mrishom Mpoto, (kushoto),
akimuhudumia mwanachama huyu aliyefika banda la Mfuko huo lililoko jengo la
Wizara ya Fedha na Mipango kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es
Salaam Julai 5, 2016 ambako kunafanyika maonyesho ya 40 ya biashara ya
kimataifa ya Dar es Salaam. Mfuko huo umezidi kujizolea wanachama wapya na
hivyo kuongeza idadi ya wachangiaji. (PICHA NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said)*
*Joseph Lyimo, (kushoto), Afisa Mkuu wa Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa
PSPF, akimkabidhi kadi ya uanachama mwanachama Gilbert Nsumba, kwenye banda ... more »
No comments:
Post a Comment