Tuesday, 5 July 2016

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI DKT. JULIANA PALLANGYO ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA KIMATAIFA YA SABASABA


* Mtaalam kutoka Idara ya Nishati, Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Marwa Petro (kushoto) akielezea majukumu ya Wizara mbele ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Juliana Pallangyo (wa pili kutoka kulia, mbele) mara Naibu Katibu Mkuu alipotembelea banda la Wizara kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.* * Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Juliana Pallangyo, (kushoto) akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasi... more »

No comments:

Post a Comment