Tuesday, 27 September 2016

wanafunzi wa mpechi secondari wakisikiliza semina elekezi juu ya UMUHIMU WA TOHARA KIAFYA ambayo iliongozwa na wataalamu wa afya pamoja na mwenyekiti wa mtaa wa mpechi ndg DEO MSEMWA
ambapo walikuja na kauli mbiu isemayo TOHARI KWA AFYA YAKO
 

No comments:

Post a Comment